Baada ya kufanya matukio ya kupora kwenye maduka mfululizo maeneo ya Goba, Kuanzia bondeni, wakafanya tena maeneo ya kwa sanga wakaenda tena kwa japhet juu kidogo ya bonden na kuua mzee wa watu asiye na hatia siku yao ikafika jana asubuhi walienda kupora Goba mwisho madole asubuhi na hapo ndipo arobaini yao ilipofikia.
Samahani kwa picha hizi zinatisha ila ndio hali halisi.
Samahani kwa picha hizi zinatisha ila ndio hali halisi.
No comments:
Post a Comment